United Yatoka Sare, Liverpool, City Na Arsenal Washinda

KEY POINTS
Manchester United walitoka sare tasa na magwiji wa London Chelsea katika mechi ilikuwa ya kusisimua mno.
By Antonney Oduor
Liverpool ilipata ushindi wake wa kwanza baada kupoteza mechi nne mfululizo. Curtis Jones na Roberto Firmino waliibuka kidede na kuipatia klabu ushindi wa mabao mawili kwa nunge dhidi ya vibonde wanaoshika nafasi ya mwisho katika jedwali la ligi kuu. Hii inaifanya Liverpool kuendelea kusihika nambari ya sita huku Westham na Chelsea wakiwa juu yao.
Manchester United walitoka sare tasa na magwiji wa London Chelsea katika mechi ilikuwa ya kusisimua mno. Chelsea walikosa nafasi za wazi kwani bahati yao ilikuwa haijasimama tisti kabisa. Hii inaifanya Chelsea kurudi hadi nambari tano na alama arubaini na nne. Huku United wakiwa na alama hamsini wakizdiwa na alama na kumi na mbili na majirani wao Manchester City.
Arsenal nao hawakuwachwa nyuma kwa kujizolea alamu tatu muhimu baada ya kuicharaza Leicester mabao matatu kwa moja. Leicester ambao wanashikilia nambari ya tatu jedwalini na alama arubaini na tisa walitangulia kufunga bao katika dakika ya sita kupitia mchezaji Youri Tielemans raia wa ubelgiji katika dakika ya sita. Washika bunduki walijibu mapigo baada ya David Luiz kufunga katika dakika ya thelathini na tisa. Alexandre Lacazette alifunga la pili kupitia mkwaju wa penalti dakika moja kabla ya mapumziko huku Nicolas Pepe akakata matumaini ya Leicester kuibuka na ushindi.
Tottenham Hotspurs waliibuka na ushindi wa mabao manne bila jawabu dhidi ya Burnley. Mabao hayo yalifungwa na Gareth Bale ambae alifunga mawili huku Harry Kane na Lucas Moura wakaongeza mengine. Hii inaifanya Spurs kushikilia namba nane jedwalini.
Fulham walitoka sare tasa na Crystal Place, Newcastle walitoka sare ya bao moja na Wolves. Leeds walichapwa bao moja komboa ufe na Aston Villa huku Westbrom walichapa Brighton bao moja kwa nunge baada ya Danny Welbeck na Pascal Gross Kukosa mkwaju wa penalty. Manchester City wakaendeleza ushindi wao mechi ishirini bila kupigwa baada ya Ruben Dias na John Stones kuipatia ushindi wa mabao mawili kwa moja dhidi ya Westham. Wana Nyundo hao walipata bao la kufutia machozi kupitia mshambuliaji wao Mikel Antonio.
About Soko Directory Team
Soko Directory is a Financial and Markets digital portal that tracks brands, listed firms on the NSE, SMEs and trend setters in the markets eco-system.Find us on Facebook: facebook.com/SokoDirectory and on Twitter: twitter.com/SokoDirectory
- January 2025 (119)
- February 2025 (191)
- March 2025 (212)
- April 2025 (193)
- May 2025 (161)
- June 2025 (157)
- July 2025 (226)
- August 2025 (211)
- September 2025 (270)
- October 2025 (98)
- January 2024 (238)
- February 2024 (227)
- March 2024 (190)
- April 2024 (133)
- May 2024 (157)
- June 2024 (145)
- July 2024 (136)
- August 2024 (154)
- September 2024 (212)
- October 2024 (255)
- November 2024 (196)
- December 2024 (143)
- January 2023 (182)
- February 2023 (203)
- March 2023 (322)
- April 2023 (297)
- May 2023 (267)
- June 2023 (214)
- July 2023 (212)
- August 2023 (257)
- September 2023 (237)
- October 2023 (264)
- November 2023 (286)
- December 2023 (177)
- January 2022 (293)
- February 2022 (329)
- March 2022 (358)
- April 2022 (292)
- May 2022 (271)
- June 2022 (232)
- July 2022 (278)
- August 2022 (253)
- September 2022 (246)
- October 2022 (196)
- November 2022 (232)
- December 2022 (167)
- January 2021 (182)
- February 2021 (227)
- March 2021 (325)
- April 2021 (259)
- May 2021 (285)
- June 2021 (272)
- July 2021 (277)
- August 2021 (232)
- September 2021 (271)
- October 2021 (304)
- November 2021 (364)
- December 2021 (249)
- January 2020 (272)
- February 2020 (310)
- March 2020 (390)
- April 2020 (321)
- May 2020 (335)
- June 2020 (327)
- July 2020 (333)
- August 2020 (276)
- September 2020 (214)
- October 2020 (233)
- November 2020 (242)
- December 2020 (187)
- January 2019 (251)
- February 2019 (215)
- March 2019 (283)
- April 2019 (254)
- May 2019 (269)
- June 2019 (249)
- July 2019 (335)
- August 2019 (293)
- September 2019 (306)
- October 2019 (313)
- November 2019 (362)
- December 2019 (318)
- January 2018 (291)
- February 2018 (213)
- March 2018 (275)
- April 2018 (223)
- May 2018 (235)
- June 2018 (176)
- July 2018 (256)
- August 2018 (247)
- September 2018 (255)
- October 2018 (282)
- November 2018 (282)
- December 2018 (184)
- January 2017 (183)
- February 2017 (194)
- March 2017 (207)
- April 2017 (104)
- May 2017 (169)
- June 2017 (205)
- July 2017 (189)
- August 2017 (195)
- September 2017 (186)
- October 2017 (235)
- November 2017 (253)
- December 2017 (266)
- January 2016 (164)
- February 2016 (165)
- March 2016 (189)
- April 2016 (143)
- May 2016 (245)
- June 2016 (182)
- July 2016 (271)
- August 2016 (247)
- September 2016 (233)
- October 2016 (191)
- November 2016 (243)
- December 2016 (153)
- January 2015 (1)
- February 2015 (4)
- March 2015 (164)
- April 2015 (107)
- May 2015 (116)
- June 2015 (119)
- July 2015 (145)
- August 2015 (157)
- September 2015 (186)
- October 2015 (169)
- November 2015 (173)
- December 2015 (205)
- March 2014 (2)
- March 2013 (10)
- June 2013 (1)
- March 2012 (7)
- April 2012 (15)
- May 2012 (1)
- July 2012 (1)
- August 2012 (4)
- October 2012 (2)
- November 2012 (2)
- December 2012 (1)