Kurunzi Ya Ligi Kuu Ya Mabingwa Barani Ulaya

KEY POINTS
Mabingwa wa ulaya mara tano Barcelona watawaalika wababe wa Ufaransa Paris Saint Germain (PSG) katika dimba lao la Camp Nou katika awamu ya kumi na sita bora.
By Antonney Oduor
Wanasema nyuki hutoa asali tamu basi mchezo wa kandanda hutoa utamu zaidi ya asali. Leo michuano ya ligi ya mabingwa ulaya itang’oa nanga usiku katika ynyanja mbalimbali.
Mabingwa wa ulaya mara tano Barcelona watawaalika wababe wa Ufaransa Paris Saint Germain (PSG) katika dimba lao la Camp Nou katika awamu ya kumi na sita bora kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Ulaya saa tano usiku.
Barcelona ambayo imekuwa rekodi nzuri katika kufuzu katika awamu ya robo fainali maana katika misimu kumi na minne ambayo wamejipata katika awamu ya kumi na sita wamefuzu zote.
Hii ni rekodi nzuri kwa wana Catalunya hao kwani mara ya mwisho wababe hao kupatana na mabingwa wa Ufaransa PSG waliicharaza mabao sita kwa moja mnamo mwaka wa 2017.
PSG watakosa huduma za staa wao wa kibrazili Neymar Junior ambaye anauguza jeraha la goti huku Angel Di Maria pia akiuguza majeruhi. Hii ni pigo kubwa sana kwa PSG ambao watakosa huduma za wachezaji hao. Bareclona watakosa huduma za Philipe Coutinho ambaye ameuguza jeraha la goti kwa muda mrefu. Huenda mchezaji wao mkongwe Gerrard Pique akarudi uwanjani leo kusakata dimba hilo.
PSG wamekuwa na rekodi mbaya ya kufuzu katika awamu ya robo fainali isipokuwa msimu uliopita dunia ilishuhudia wakifika fainali na kocha wao aliyekula kalamu Thomas Tuchel. Hiyo ilikuwa mara ya kwanza katika historia yao.
Je, PSG wamekuja kulipiza kisasi cha mwaka wa 2017 au Barcelona watajizatiti kuitetea rekodi yao? Basi hapo mida ya saa tano usiku tutajua kati ya Simba na Chui nani mfalme wa jangwani.
Kule ujerumani miamba wa Uingereza Liverpool watacheza katika uwanja wa Puskas Arena (Budapest) ambao wanasema ni ‘neutral stadium’ kutokana na janga la corona na RB Leipzig. Msimu uliopita wajerumani walishangaza watu sana baada ya kufika nusu fainali baada ya kubanduliwa na PSG.
Liverpool wamekuwa na rekodi mbaya sana katika michuano ya Uingereza baada ya kupoteza mechi tatu mfululizo. Mabingwa hao wa ulaya kwa mara ya sita wamekuwa ma mikosi ya majeruhi kupelekea matokeo ya duni uwanjani. Ikumbukwe kwamba kocha wao Jurgen Klopp alifiliwa na mamake mzazi huko ujerumani na katika mahojiano jumapili alisema hilo halitamtatiza uwanjani kwani ni Maisha tu.
Usikose kushuhudia mechi ya mabingwa ulaya kwani kuna uhondo mkubwa tupilia mbali kaski ya ndovu kumfanya mwanawe kitoweo.
About the author
A freelance Journalist Who has much interest in sports and trends. He says it as it is and brings out the bitter truth and the thrill in the game.
About Soko Directory Team
Soko Directory is a Financial and Markets digital portal that tracks brands, listed firms on the NSE, SMEs and trend setters in the markets eco-system.Find us on Facebook: facebook.com/SokoDirectory and on Twitter: twitter.com/SokoDirectory
- January 2026 (220)
- February 2026 (248)
- March 2026 (287)
- April 2026 (208)
- May 2026 (132)
- January 2025 (119)
- February 2025 (191)
- March 2025 (212)
- April 2025 (193)
- May 2025 (161)
- June 2025 (157)
- July 2025 (227)
- August 2025 (211)
- September 2025 (270)
- October 2025 (297)
- November 2025 (230)
- December 2025 (220)
- January 2024 (238)
- February 2024 (227)
- March 2024 (190)
- April 2024 (133)
- May 2024 (157)
- June 2024 (145)
- July 2024 (136)
- August 2024 (154)
- September 2024 (212)
- October 2024 (255)
- November 2024 (196)
- December 2024 (143)
- January 2023 (182)
- February 2023 (203)
- March 2023 (322)
- April 2023 (297)
- May 2023 (267)
- June 2023 (214)
- July 2023 (212)
- August 2023 (257)
- September 2023 (237)
- October 2023 (264)
- November 2023 (286)
- December 2023 (177)
- January 2022 (293)
- February 2022 (329)
- March 2022 (358)
- April 2022 (292)
- May 2022 (271)
- June 2022 (232)
- July 2022 (278)
- August 2022 (253)
- September 2022 (246)
- October 2022 (196)
- November 2022 (232)
- December 2022 (167)
- January 2021 (182)
- February 2021 (227)
- March 2021 (325)
- April 2021 (259)
- May 2021 (285)
- June 2021 (272)
- July 2021 (277)
- August 2021 (232)
- September 2021 (271)
- October 2021 (304)
- November 2021 (364)
- December 2021 (249)
- January 2020 (272)
- February 2020 (310)
- March 2020 (390)
- April 2020 (321)
- May 2020 (335)
- June 2020 (327)
- July 2020 (333)
- August 2020 (276)
- September 2020 (214)
- October 2020 (233)
- November 2020 (242)
- December 2020 (187)
- January 2019 (251)
- February 2019 (215)
- March 2019 (283)
- April 2019 (254)
- May 2019 (269)
- June 2019 (249)
- July 2019 (335)
- August 2019 (292)
- September 2019 (306)
- October 2019 (313)
- November 2019 (362)
- December 2019 (318)
- January 2018 (291)
- February 2018 (213)
- March 2018 (275)
- April 2018 (223)
- May 2018 (235)
- June 2018 (176)
- July 2018 (256)
- August 2018 (247)
- September 2018 (255)
- October 2018 (282)
- November 2018 (282)
- December 2018 (184)
- January 2017 (183)
- February 2017 (194)
- March 2017 (207)
- April 2017 (104)
- May 2017 (169)
- June 2017 (205)
- July 2017 (189)
- August 2017 (195)
- September 2017 (186)
- October 2017 (235)
- November 2017 (253)
- December 2017 (266)
- January 2016 (164)
- February 2016 (165)
- March 2016 (189)
- April 2016 (143)
- May 2016 (245)
- June 2016 (182)
- July 2016 (271)
- August 2016 (247)
- September 2016 (233)
- October 2016 (191)
- November 2016 (243)
- December 2016 (153)
- January 2015 (1)
- February 2015 (4)
- March 2015 (164)
- April 2015 (107)
- May 2015 (116)
- June 2015 (119)
- July 2015 (145)
- August 2015 (157)
- September 2015 (186)
- October 2015 (169)
- November 2015 (173)
- December 2015 (205)
- March 2014 (2)
- March 2013 (10)
- June 2013 (1)
- March 2012 (7)
- April 2012 (15)
- May 2012 (1)
- July 2012 (1)
- August 2012 (4)
- October 2012 (2)
- November 2012 (2)
- December 2012 (1)
