Mabingwa Watetezi Wapigwa, Chelsea Kujipa Njia Rahisi

KEY POINTS
Bayern Munich Walipata kuona usiku mrefu ndani ya Allianz Arena baada kupokea kichapo cha tatu mbili kutoka kwa mahasimu wao wa jadi Ulaya Paris Saint Germain.
Na Antonney Oduor
Bayern Munich walipata kuona usiku mrefu ndani ya Allianz Arena baada kupokea kichapo cha tatu mbili kutoka kwa mahasimu wao wa jadi Ulaya Paris Saint Germain.
Mabao mawili ya Kylian Mbappe yalitosha kuipa ushindi wafaransa hao na kuigaragaza Bayern Munich. Mabao ya Wajerumani hao Yalifungwa na Choupo Mouting na Thomas Muller na bao lengine la PSG lilifungwa na Marquinhos.
Matokeo haya huenda Yakawa magumu kwa Bayern Munich Kwani tayari PSG Wana mabao matatu ya ugenini. Inasemekana PSG ilikuja kulipiza kisasi ya Fainali zilizopita baada ya kuchapwa na Bayern Munich katika fainali za Barani ulaya.
Chelsea walitia guu Moja katika awamu ya nusu fainali baada ya kuitibua Fc Porto Ya Ureno mabao mawili kwa nunge. Mabao hayo Yalifungwa na Mason Mount na Ben Chilwell na kuhaikishia Chelsea wanakuwa na nafasi nzuri ya kucheza katika awamu nyengine.
Inakisiwa Kwamba hata Wana Blues wakipata sare ya kutofungana basi watakuwa washafuzu katika nusu fainali. Matokeo haya yanakuja baada ya Chelsea kuwa matokeo mabaya kwa ligi kuu Uingereza.
Kule Uitaliano kwenye Ligi ya Serie A Juventus waliwakandamiza wapinzani wao Napoli kwa mabao mawili kwa Moja. Mshambuliaji wao Cristiano Ronaldo alifungua ukurasa wa mabao huku Paulo Dybala kuongeza la pili.
Napoli walipata bao la kufutia machozi kupitia mshambuliaji wao Insigne. Hii inaifanya Juventus kushikilia nafasi ya Tatu kwenye jedwali huku Inter Milan ilizidi kushika usukani.
Leo kutakuwa na mechi za Ligi ya Europa awamu ya kwanza ya robo fainali. Arsenal wataialika Slavia Praha katika uga wao wa Emirata, Granada wataalika mabingwa wa Europa mwaka wa 2017 Manchester United. Huku Ajax wakiminyana na Roma na hatimaye Dianamo Zagreb Kupambana na Villarreal ya Unai Emery.
Usikose kushuhudia mapambano haya Kwani ina ladha zaidi ya Asali.
About David Indeje
David Indeje is a writer and editor, with interests on how technology is changing journalism, government, Health, and Gender Development stories are his passion. Follow on Twitter @David_IndejeDavid can be reached on: (020) 528 0222 / Email: info@sokodirectory.com
- January 2026 (220)
- February 2026 (248)
- March 2026 (287)
- April 2026 (207)
- May 2026 (192)
- June 2026 (238)
- July 2026 (279)
- August 2026 (224)
- September 2026 (34)
- January 2025 (119)
- February 2025 (191)
- March 2025 (212)
- April 2025 (193)
- May 2025 (161)
- June 2025 (157)
- July 2025 (227)
- August 2025 (211)
- September 2025 (267)
- October 2025 (297)
- November 2025 (230)
- December 2025 (220)
- January 2024 (238)
- February 2024 (227)
- March 2024 (190)
- April 2024 (133)
- May 2024 (157)
- June 2024 (145)
- July 2024 (136)
- August 2024 (154)
- September 2024 (212)
- October 2024 (255)
- November 2024 (196)
- December 2024 (143)
- January 2023 (182)
- February 2023 (203)
- March 2023 (322)
- April 2023 (297)
- May 2023 (267)
- June 2023 (214)
- July 2023 (212)
- August 2023 (257)
- September 2023 (237)
- October 2023 (264)
- November 2023 (286)
- December 2023 (177)
- January 2022 (293)
- February 2022 (329)
- March 2022 (358)
- April 2022 (292)
- May 2022 (271)
- June 2022 (232)
- July 2022 (278)
- August 2022 (253)
- September 2022 (246)
- October 2022 (196)
- November 2022 (232)
- December 2022 (167)
- January 2021 (182)
- February 2021 (227)
- March 2021 (325)
- April 2021 (259)
- May 2021 (285)
- June 2021 (272)
- July 2021 (277)
- August 2021 (232)
- September 2021 (271)
- October 2021 (303)
- November 2021 (364)
- December 2021 (249)
- January 2020 (272)
- February 2020 (310)
- March 2020 (390)
- April 2020 (321)
- May 2020 (335)
- June 2020 (327)
- July 2020 (333)
- August 2020 (276)
- September 2020 (214)
- October 2020 (233)
- November 2020 (242)
- December 2020 (187)
- January 2019 (251)
- February 2019 (215)
- March 2019 (283)
- April 2019 (254)
- May 2019 (269)
- June 2019 (249)
- July 2019 (335)
- August 2019 (292)
- September 2019 (306)
- October 2019 (313)
- November 2019 (362)
- December 2019 (318)
- January 2018 (291)
- February 2018 (213)
- March 2018 (275)
- April 2018 (223)
- May 2018 (235)
- June 2018 (176)
- July 2018 (256)
- August 2018 (247)
- September 2018 (255)
- October 2018 (282)
- November 2018 (282)
- December 2018 (184)
- January 2017 (183)
- February 2017 (194)
- March 2017 (207)
- April 2017 (104)
- May 2017 (169)
- June 2017 (205)
- July 2017 (189)
- August 2017 (195)
- September 2017 (186)
- October 2017 (235)
- November 2017 (253)
- December 2017 (266)
- January 2016 (164)
- February 2016 (165)
- March 2016 (189)
- April 2016 (143)
- May 2016 (245)
- June 2016 (182)
- July 2016 (271)
- August 2016 (247)
- September 2016 (233)
- October 2016 (191)
- November 2016 (243)
- December 2016 (153)
- January 2015 (1)
- February 2015 (4)
- March 2015 (164)
- April 2015 (107)
- May 2015 (116)
- June 2015 (119)
- July 2015 (145)
- August 2015 (157)
- September 2015 (186)
- October 2015 (169)
- November 2015 (173)
- December 2015 (205)
- March 2014 (2)
- March 2013 (10)
- June 2013 (1)
- March 2012 (7)
- April 2012 (15)
- May 2012 (1)
- July 2012 (1)
- August 2012 (4)
- October 2012 (2)
- November 2012 (2)
- December 2012 (1)
