Liverpool Wapewa Kichapo, City Guu Moja Nusu Fainali

KEY POINTS
Mabingwa wa Ulaya kwa mara ya kumi na tatu Real Madrid Hapo Jana katika uga wa Alfredo De Stefano waliwacharaza mabingwa mara sita Liverpool mabao matatu kwa Moja.
Na Antonney Oduor
Mabingwa wa Ulaya kwa mara ya kumi na tatu Real Madrid Hapo Jana katika uga wa Alfredo De Stefano waliwacharaza mabingwa mara sita Liverpool mabao matatu kwa moja.
Wana Los Blancos walifungua ukurasa wa mabao kupitia kinda wao Vinicius Junior baada ya kupokea pasi murwa kutoka kwa Mjerumani Toni Kroos katika dakika ya ishirini na sita.
Wana Reds maji iliwazidi unga Kwani kabla ya dakika chache ndo waende mapumzikoni walifungwa lengine kupitia Mchezaji Marco Asensio.
Klop alikuwa amepaniki baada ya kumtoa Baby Keita katika dakika za arubaine. Kipindi cha pili kurudi Liverpool walijikakamua kupata bao la kufutia machozi kupitia Mchezaji wa mshambuliaji Mohamed Salah na kufanya mambo kuwa mawili kwa Moja.
Katika dakika ya sitini na tano Vinicius Junior alipokea Tena pasi kutoka kwa Mkrotia Luka Modric na kuchapa msumari wa mwisho kwenye Jeneza alipofunga bao la tatu na la ushindi. Hivyo Basi Liverpool Wana kibarua kigumu watakapocheza kule Anfield wiki ijayo. Je kutakuwa na miujiza ya Anfield ama tusuburie dakika tisini za mchezo.
Manchester City wametia guu Moja katika awamu ya Robo fainali baada ya kuwagaragaza Borrusia Dortmund mabao mawili kwa moja kule Etihad, Manchester. Nahodha wa Jana Kevin De Bruyne alifungua ukurasa mabao katika dakika ya kumi na saba kipindi cha kwanza na kuiweka City mbele. Dortmund walinyimwa bao la Jude Bellingham katika dakika ya thelathini baada ya mwamuzi Mkuu kuamua kuwa alikuwa amecheza ndivyo sivyo. Katika dakika za lala salama Marco Reus alifunga bao la kufutia machozi na kufanya mambo kuwa Sawa lakini katika dakika za ziada Phil Foden alihakikisha Kwamba city wanatoka na ushindi.
Leo kutakuwa na pambano katika Ya PSG na Bayern Munich. PSG watakosa huduma Za Mchezaji wao Marco Verrati ambae aliwekwa karantini baada ya kupatikana na virusi vya Covid-19, huku Bayern Munich watakosa huduma Za Mshambuliaji wao matata Roberto Lewandowski ambae anauguza jeraha la goti, Serge Gnabry ambae ana virusi Vya Covid. Mechi Hiyo itakuwa kumbukumbuku ya Fainali ambazo zilichezwa mwaka uliopita.
Chelsea waatalikwa kucheza Ureno na FC Porto. Mechi Hiyo ambae kila upande haina tatizo la majeraha sana lakini kuna baadhi ya wachezaji wa Chelsea ambao wamerudi. Ikiwa ni Ngolo Kante, Tammy Abraham na Thiago Silva. Chelsea watarudi uwwanjani baada ya wikendi iliyopita kuadhibiwa mabao matano na Westbrom.
Usikose kutazama mechi hizi Kwani itakuwa zaidi ya uhondo.
About Soko Directory Team
Soko Directory is a Financial and Markets digital portal that tracks brands, listed firms on the NSE, SMEs and trend setters in the markets eco-system.Find us on Facebook: facebook.com/SokoDirectory and on Twitter: twitter.com/SokoDirectory
- January 2026 (220)
- February 2026 (248)
- March 2026 (287)
- April 2026 (207)
- May 2026 (192)
- June 2026 (238)
- July 2026 (279)
- August 2026 (224)
- September 2026 (16)
- January 2025 (119)
- February 2025 (191)
- March 2025 (212)
- April 2025 (193)
- May 2025 (161)
- June 2025 (157)
- July 2025 (227)
- August 2025 (211)
- September 2025 (267)
- October 2025 (297)
- November 2025 (230)
- December 2025 (220)
- January 2024 (238)
- February 2024 (227)
- March 2024 (190)
- April 2024 (133)
- May 2024 (157)
- June 2024 (145)
- July 2024 (136)
- August 2024 (154)
- September 2024 (212)
- October 2024 (255)
- November 2024 (196)
- December 2024 (143)
- January 2023 (182)
- February 2023 (203)
- March 2023 (322)
- April 2023 (297)
- May 2023 (267)
- June 2023 (214)
- July 2023 (212)
- August 2023 (257)
- September 2023 (237)
- October 2023 (264)
- November 2023 (286)
- December 2023 (177)
- January 2022 (293)
- February 2022 (329)
- March 2022 (358)
- April 2022 (292)
- May 2022 (271)
- June 2022 (232)
- July 2022 (278)
- August 2022 (253)
- September 2022 (246)
- October 2022 (196)
- November 2022 (232)
- December 2022 (167)
- January 2021 (182)
- February 2021 (227)
- March 2021 (325)
- April 2021 (259)
- May 2021 (285)
- June 2021 (272)
- July 2021 (277)
- August 2021 (232)
- September 2021 (271)
- October 2021 (303)
- November 2021 (364)
- December 2021 (249)
- January 2020 (272)
- February 2020 (310)
- March 2020 (390)
- April 2020 (321)
- May 2020 (335)
- June 2020 (327)
- July 2020 (333)
- August 2020 (276)
- September 2020 (214)
- October 2020 (233)
- November 2020 (242)
- December 2020 (187)
- January 2019 (251)
- February 2019 (215)
- March 2019 (283)
- April 2019 (254)
- May 2019 (269)
- June 2019 (249)
- July 2019 (335)
- August 2019 (292)
- September 2019 (306)
- October 2019 (313)
- November 2019 (362)
- December 2019 (318)
- January 2018 (291)
- February 2018 (213)
- March 2018 (275)
- April 2018 (223)
- May 2018 (235)
- June 2018 (176)
- July 2018 (256)
- August 2018 (247)
- September 2018 (255)
- October 2018 (282)
- November 2018 (282)
- December 2018 (184)
- January 2017 (183)
- February 2017 (194)
- March 2017 (207)
- April 2017 (104)
- May 2017 (169)
- June 2017 (205)
- July 2017 (189)
- August 2017 (195)
- September 2017 (186)
- October 2017 (235)
- November 2017 (253)
- December 2017 (266)
- January 2016 (164)
- February 2016 (165)
- March 2016 (189)
- April 2016 (143)
- May 2016 (245)
- June 2016 (182)
- July 2016 (271)
- August 2016 (247)
- September 2016 (233)
- October 2016 (191)
- November 2016 (243)
- December 2016 (153)
- January 2015 (1)
- February 2015 (4)
- March 2015 (164)
- April 2015 (107)
- May 2015 (116)
- June 2015 (119)
- July 2015 (145)
- August 2015 (157)
- September 2015 (186)
- October 2015 (169)
- November 2015 (173)
- December 2015 (205)
- March 2014 (2)
- March 2013 (10)
- June 2013 (1)
- March 2012 (7)
- April 2012 (15)
- May 2012 (1)
- July 2012 (1)
- August 2012 (4)
- October 2012 (2)
- November 2012 (2)
- December 2012 (1)
